KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Sunday 14 February 2016

 WAZIRI NAPE AONGEA NA VIONGOZI WA COSOTA NA MKURUGENZI MKUU WA COPYRIGHT MANAGEMENT EAST AFICA BW. PAUL MATTHYSSE


np1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mhe. Nape  Nnauye akiongea na viongozi wa COSOTA na  wa  Kampuni ya  Copyright  Management  Eas t  Africa kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa unafanya kazi. .(Picha na Benjamin Sawe- WHUSM)

No comments:

Post a Comment