KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Friday, 10 April 2015

MATUKIO YA MAZISHI YA RWEBANGIRA

Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa mwanahabari Bernard R. Ishengoma wakibeba jeneza lililo na mwili wake. Bernard Rwebangira alifariki dunia Aprili 8, 2015 na kuzikwa Aprili 9, 2015 makaburi ya Kawe jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa shilingi 600,000 kwa kaka mkubwa wa marehemu mwanahabari Bernard R. Ishengoma ambaye ni mwanachama wa TBN, uliofanyika Mbezi Tangi Bovu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment