Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wenyeji wao wa kisiwa cha Iroba-Bumbile walipokuwa wakiwasili.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wakiwasili kwenye Kisiwa cha Iroba-Bumbile wilayani Muleba mkoani kagera,nyuma yake ni Katibu wa NEC,Itikadi na Unezi Nape Nanauye.
No comments:
Post a Comment