KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Monday, 8 June 2015

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE ATEMBELEA VISIWA VINNE WILAYANI MULEBA MKOANI KAGERA


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wenyeji wao wa kisiwa cha Iroba-Bumbile walipokuwa wakiwasili.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wakiwasili kwenye Kisiwa cha Iroba-Bumbile wilayani Muleba mkoani kagera,nyuma yake ni Katibu wa NEC,Itikadi na Unezi Nape Nanauye.

No comments:

Post a Comment