| Viongozi wa CUF pamoja na wagombea uwakilishi na ubunge wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad wakati akihutubia kwenye ukumbi wa Majid Kiembesamaki. |
Kaimu Naibu
Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Ismail Jussa Ladhu, akinukuu baadhi ya vifungu vya
katiba ya chama hicho vilivyoipa uhalali Kamati tendaji ya chama hicho Taifa kufanya
uteuzi ya wagombea katika majimbo yaliyoongezwa kulingana na hali halisi
ilivyokuwa.
Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Ismail Jussa Ladhu, akinukuu baadhi ya vifungu vya
katiba ya chama hicho vilivyoipa uhalali Kamati tendaji ya chama hicho Taifa kufanya
uteuzi ya wagombea katika majimbo yaliyoongezwa kulingana na hali halisi
ilivyokuwa.
No comments:
Post a Comment