KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Friday, 14 August 2015

MAALIM SEIF AKUTANA NA VIONGOZI WA CUF – ZANZIBAR

Katibu Mkuu wa
Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na viongozi
wa CUF pamoja na wagombea uwakilishi na ubunge wa Chama hicho Wilaya za Unguja
katika ukumbi wa majid Kiembe Samaki.
 
Viongozi wa CUF
pamoja na wagombea uwakilishi na ubunge  wakimsikiliza
Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad wakati akihutubia kwenye
ukumbi wa Majid Kiembesamaki.
Kaimu Naibu
Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Ismail Jussa Ladhu, akinukuu baadhi ya vifungu vya
katiba ya chama hicho vilivyoipa uhalali  Kamati tendaji ya chama hicho Taifa kufanya
uteuzi ya wagombea katika majimbo yaliyoongezwa kulingana na hali halisi
ilivyokuwa.
Katibu Mkuu wa
CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akikabidhi vifaa vya michezo kwa viongozi wa
wilaya na wagombea wa majimbo kama vitendea kazi vya kampeni, ambapo kila jimbo
lilikabidhiwa seti 40 za jezi na mipira 120.

No comments:

Post a Comment