KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Friday, 29 January 2016

MATUKIO KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA


01 Waziri  Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na wabunge wa Mkoa wa Simiyu, Ofisini kwake mjini Dodoma Januari 29, 2016.  Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa huo Erasto Mbwilo.
0302Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Mbunge wa Vunjo, James Mbatia kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januari 29, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment