KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Sunday, 22 March 2015

WAZIRI LUKUVI AFUNGUA NYUMBA ZA NHC MRARA BABATI

Sehemu ya nyumba 40 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara ambazo zilifumguliwa rasmi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi amehitimisha ziara yake ya kutatua migogoro ya Ardhi katika mikoa ya Mwanza, Arusha na Manyara na ameweza pia kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba za gharama nafuu Buswelu Mwanza na kufungua nyumba za aina hiyo zilizojengwa na NHC katika eneo la Longido Arusha na Mrara Babati. Picha za ufunguzi wa Mradi wa Mrara na Muungano Saguya-Babati

Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akitoa maelekezo kwa watendaji wake muda mfupi kabla ya ufunguzi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara


No comments:

Post a Comment