 |
Sehemu ya nyumba 40 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara ambazo zilifumguliwa rasmi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi.
|
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi amehitimisha ziara yake ya kutatua migogoro ya Ardhi katika mikoa ya Mwanza, Arusha na Manyara na ameweza pia kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba za gharama nafuu Buswelu Mwanza na kufungua nyumba za aina hiyo zilizojengwa na NHC katika eneo la Longido Arusha na Mrara Babati. Picha za ufunguzi wa Mradi wa Mrara na Muungano Saguya-Babati
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akitoa maelekezo kwa watendaji wake muda mfupi kabla ya ufunguzi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara
No comments:
Post a Comment