Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini
akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini
Dar es Salaam kuhusu baadhi ya Shule za Sekondari za Bweni zilizofungwa
kutokana na ukosefu wa chakula ambapo alisema shule hizo zimefungwa
kimakosa kwani Serikali imeshapeleka fedha za kununulia chakula kwenye
halmashauri zote nchini. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Elimu TAMISEMI Bw.
Zuberi Samataba.
No comments:
Post a Comment