KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Sunday, 17 May 2015

MBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA

 Mwalimu mstaafu wa Sekondari na Mjumbe mwelimishaji wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) na Mwenyekiti wa Wazazi Tua Moyo Ali Ahmad kwa jina maarufu mpemba wa Asili, akisoma shairi wakati wa Mkutano wa Hadhara ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile akisalimia wananchi wakati wa Mkutano wa hadhara ulio fanyika Dar es Salam
  Dk. Faustine Ndugulile  akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kata ya kigamboni na Katibu Kata wa chama hicho kabla ya kuanza Mkutano huo
  Wananchi na wanachama wa Chama cha Mapindizi (CCM) wakishangilia wakati Mbunge wao alipokuwa akipanda jukwaani katika uwanja wa Tuwa Moyo Kigamboni

No comments:

Post a Comment