MBUNGE WA JIMBO LA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA
Mwalimu
mstaafu wa Sekondari na Mjumbe mwelimishaji wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) na Mwenyekiti wa Wazazi Tua Moyo Ali Ahmad kwa jina maarufu mpemba
wa Asili, akisoma shairi wakati wa Mkutano wa Hadhara ambapo Mgeni
Rasmi alikuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile (PICHA
ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Dk. Faustine Ndugulile akisalimia wananchi wakati wa Mkutano wa hadhara ulio fanyika Dar es Salam
Dk.
Faustine Ndugulile akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
Kata ya kigamboni na Katibu Kata wa chama hicho kabla ya kuanza Mkutano
huo
Wananchi na wanachama wa Chama cha Mapindizi (CCM) wakishangilia wakati
Mbunge wao alipokuwa akipanda jukwaani katika uwanja wa Tuwa Moyo
Kigamboni
No comments:
Post a Comment