KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Monday, 1 June 2015

NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA,ZANZIBAR SALUM MWALIM ATUNUKU VYETI KWA WANACHAMA WA CHASO MKOA WA KILIMANJARO

Naibu Katibu mkuu wa Chdeama taifa upande wa
Zanzibar Salum Mwalimu akizungumza wakati wa mahafali ya Chaso mkoa wa 
Kilimanjaro yaliyofanyika katika shule ya sekondari 
Majengo.
 
Baadhi ya wanachama wa Chaso  kutoka
vyuo mbalimbali mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katimsikiliza Naibu katibu 
mkuu wa Chadema taifa,upande wa Zanzibar Salum Mwalimu wakati wa 
sherehe za umoja huo.

No comments:

Post a Comment