![]() |
Naibu Katibu mkuu wa Chdeama taifa upande wa
Zanzibar Salum Mwalimu akizungumza wakati wa mahafali ya Chaso mkoa wa
Kilimanjaro yaliyofanyika katika shule ya sekondari
Majengo.
|
![]() |
Baadhi ya wanachama wa Chaso kutoka
vyuo mbalimbali mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katimsikiliza Naibu katibu
mkuu wa Chadema taifa,upande wa Zanzibar Salum Mwalimu wakati wa
sherehe za umoja huo.
|



No comments:
Post a Comment