MULTCHOICE TANZANIA YAPATA CHAI YA PAMOJA NA WANAHABARI KATIKA HALFA YA KUKARIBISHA MWAKA MPYA
Watendaji wa Multchoice Tanzania wakitoa shukrani zao kwa
wanahabari waliofika katika mwaliko maalum wa kuukaribisha mwaka pamoja
na kufahamiana zaidi halfa iliyofanyika mapema asubuhi ya leo katika
makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment