
Tel: +255 755 953 946, 755 395 517, E-mail: .f 11 r '',c iit111'1Ct.
TAARIFA KWA VYOMBO
VYA
HABARI
Chama Cha
Kijamii (CCK) kimemsimamisha kazi mara
mojo Naibu Katibu
Mkuu wake wa Zanzibar Ali K hatib Ali, ambaye pia alikuwa mgombea nafasi yo Urais wa Zanzibar kwenye uchaguzi uliotangazwa kufutwa no Tume
yo Uchaguzi Zanzibar ( ZEC) Oktoba 2015.
Pamoja na kusimamishwa uongozi, Ali K hatib
Ali pia amesimamishwa uanachama wake ili kupisha uchunguzi
dhidi yoke kufuatia
uamuzi wake binaf si wa
jana kuutangazia umma kuwa CCK
itashiriki uchaguzi wa marudio huko
Zanzibar uliotangazwa no ZEC kurejewa Machi 20, 2016.
ldara yetu yo
Ulinzi na Usalama wa chama iliyo
chini ya Mwenyekiti wa Taifa, jana ilitupatia taarifa za kuwepo mpango wa siri wa
Naibu Katibu Mkuu huyu, kurotibu kikao na waandishi wa
habari huko Unguja no baadae
kufanikiwa kunasa taarifa za kikao hicho
kilichorushwa moja kwa moja na kituo kimoja cha Radio visiwani humo.
Ndipo
uamuzi wa kuitishwa kikao
cha dharura cha
sekretarieti leo asubuhi ukafanyika,
lengo likiwa ni kujadili no
kutoa uamuzi juu ya tamko hilo
Ia ndg. Ali Khatib Ali.
Baada majadiliano ya takribani
masaa mawili kikao
kwa kauli moja kimekubaliana kumsimamisha kazi pamoja
na uanachama ndg. Ali
Khatib Aii baada yo kujiridhisha
kuwa amejipa mamlaka ya kutoa tamko
kinyume cha katiba yo CCK kifungu cha 16.2 (a) . kwa jambo zito kama hilo .
Ndg. Ali K hatib Ali amebainika kukiuka
wajibu wake kikatiba kama kiongozi chini
ya kifungu 7.3 (b) na kwamba Sekretarieti kutilia mashaka kuwepo kwa mazingira
ya rushwa kufuatia hatua hiyo yoke
kutangaza tamko hilo.
Hivyo
CCK kimekubaliana pamoja na
mambo mengine kuunda kamati ndogo yo kumchuhguza yenye wajumbe wanne
itakayoongozwa na Mwenyekiti wa Mkoa wa
Shinyanga na Mkurugenzi
wa Ulinzi na
Usalama, Masamalo Masamalo, Onesphor Nchimbi, Rukia Abdi na
Ali Waziri Gombati na kutakiwa kukamilisha kazi hiyo
katika muda mf upi no ripoti kupelekwa Kamati Kuu wiki ijayo.
Aidha CCK
inasisitiza kuwa suluhu ya
mgogoro wa Zanzibar siyo ujanja ujanja bali kuheshimu taratibu na
sheria zilizoko, aidha chama chetu
kinaona kwa hali ilivyo si sahihi
hata kidogo kwa ZEC
kuitisha uchaguzi tulipashwa
kuelezwa na ZEC kilichotokea badala ya kulazimisha mambo
kibabe.
No comments:
Post a Comment