KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Friday, 3 April 2015

HABARI KATIKA PICHA

Mmoja wa vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Azania Front, Moses Komba, akiigiza igizo la mateso ya Yesu Kristo wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment