KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Thursday, 9 April 2015

SELCOM WAZINDUA UKUSANYAJI WA KODI KWA NJIA ZA KIELEKTRONIC MANSIPAA YA MOROGORO

Meneja miradi wa Selcom Gallus Runyeta kushoto akimwelekezaKaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro Bakari Sagini jinsi ya kutumia 
 mashine ya ukusanyaji wa kodi kwa njia za kielektronic wakati wa uzinduzi rasmi wautumiaji wa mashine hizo kwa Manspaa ya Morogoro.
Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro Mohamed Lukwele kushoto akiwa na 
Meneja Ukuzaji Biashara na Masoko wa kampuni ya Selcom, Juma Mgori na 
Meneja miradi wa Selcom Gallus Runyeta wakati wa uzinduzi wa 
mashine ya ukusanyaji wa kodi kwa njia za kielektronic mkoa wa Morogoro


No comments:

Post a Comment