KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Friday, 15 May 2015

MBUNGE JAMES MBATIA APENDEKEZA SHULE BINAFSI ZIPEWE RUZUKU TOKA SERIKALINI.

Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita katika
shule ya sekondari ya Maua Seminary wakiimba wimbo wa taifa wakati wa
mahafali ya kuhitimu kidato cha sita yaliyofanyika shuleni
hapo.
 
Wahitimu wa kidato cha sita shule ya
sekondari Maua Seminari.
 
Mkuu wa shule ya sekondari Maua seminari
,Erastus Tesha akizungumza katika mahafali ya 33 kwa wahitimu wa
kidato cha sita yaliyofanyika shuleni hapo.
Mgeni rasmi katika mahafali hayo ,mbunge wa
kuteuliwa na rais ,Mh James Mbatia akizungumza na wanafunzi wa shule
hiyo pamoja na wageni waalikwa .
Baadhi ya wageni waliofika shuleni hapo kwa
ajili ya mahafali ya ndugu zao wanaotarajia kuhitimu kidato cha sita
katika shule ya sekondary ya Maua.

No comments:

Post a Comment