By SOLO Mazalla on May 10, 2015 in MICHEZO with No comments
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
CCM Taifa Nape Nnauye (katikati) akiwa pamoja na Viongozi wengine wa
michezo (wakwanza kushoto) Katibu Mwenezi wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Juma Simba Gaddafi
wakishiriki mazoezi ya kukimbia mchaka mchaka yalioandaliwa na kikundi
cha Tegeta Jogging and Sports Club yalionzia Tegeta kwa Ndevu na kuishia
katika Uwanja wa Shule ya Msingi Tegeta Kunduchi jijini Dar es Salaam
Mei 10,2015.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWEBLOG
Hapa ni mchakamchaka.
No comments:
Post a Comment