Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Falme za Kiarabu nchini Tanzania, Mbarouk Nassor Mbarouk (wa tatu kulia), wengine ni wawakilishi kutoka balozi huo.
(Picha zote na Loveness Bernard)
Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akiwa amebeba ndoo ya maji kichwani alipokuwa akikabidhiwa visima 33 vilivyochimbwa kwa msaada wa Watu wa Falme za Kiarabu na Balozi wa Falme hizo.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akifungua bomba la maji kuashiria uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji katika Kata ya Olosokwani, Loliondo wilayani Ngorongoro, juzi. Mradi huo umefadhiliwa na Serikali ya Falme za Kiarabu (UAE) ambayo imewekeza wilayani humo. Uzinduzi huo pia ulihudhuriwa na Balozi wa UAE nchini Tanzania, Mbarouk Nassor Mbarouk.
No comments:
Post a Comment