KAMA UNA TUKIO LOLOTE LA KIJAMII, SIASA, UCHUMI TUWASILIANE KWA E-mail: shehesemtawa@gmail.com SIMU: 0719 352 268

Friday, 22 January 2016

AMIRI JESHI MKUU RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AKIELEKEA MONDULI LEO

ja01
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani  Arusha wakati aliposimama njiani akielekea katika Chuo cha Kijeshi cha Monduli  ambako leo atawatunuku kamisheni maafisa wapya  wa jeshi la Wananchi waliohitimu vyema mafunzo yao mkoani humo.
ja1jes3

No comments:

Post a Comment