TMF,UN YATOA VYETI KWA WANAHABARI WAANDISHI WA HABARI ZA DAWA ZA KULEVYA
Mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George
Masaju (kulia) akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu katika hafla ya
wanahabari na wahariri waliohitimu mafunzo ya ubobezi katika kuandika
habari za dawa za kulevya na uandishi wa habari za maendeleo ya malengo
ya milenia wakiwa katika hafla ya kukabidhiwa vyeti.
No comments:
Post a Comment