WAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA MAKAMU WA BENKI YA DUNIA KANDA YA AFRIKA
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum
Mkuya akipiga mahesabu ya haraka haraka na Katibu Mkuu wa Wizara ya
Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile, baada ya
kuulizwa swali na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia ukanda wa Afrika Bw.
Makhatar Diop,( hayupo kwenye picha).Kulia ni Bw. Rished Bade Kamishna
Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania na kushoto ni Gavana msaidizi wa
Benki kuu ya Tanzania Bi. Natu Mwamba.
No comments:
Post a Comment